Habari, poleni sana na kazi za muda mrefu
Naitwa Frank nahitaji msaada kutoka kwenu nimewatumia ujumbe facebook lakin hamjanijibu bado
Habari naitwa Frank nahitaji kujiunga na chuo chenu kwa kozi ya IT ngazi ya cheti na Diploma vigezo ninavyo naombeni utaratibu jinsi ya kujaza fomu Online mana sipo mkoa wa Dar es salaam nipo vijijini kabisa mwa Kigoma ,
Pia naombeni mnijuze kuhusu Hostel zinapatikana na ni Hosteli na Chuo au za mtu binafsi na vipi hostel hiz ndo pamoja na ada uliyoitoa au hostel zina gharama yake na vip usafiri
Tafadhalini Jaman naombeni Mnijibu mimi mana kwetu mtandao unasumbua najitahd kidogo mitandao ya kijamii.
Naitwa falidu Twaili nilitaka nijuwe kama naweza kusoma IT certificate nimemaliza kidato cha nne mwaka jana nilipata division 4 ya 32 je naweza kujiunga na IT
Kozi hizo ipo Falidu unaweza kujiunga na kusoma na jitahidi kutuma Maombi yako bado tunaendelea kupokea Maombi Karibu Sana Kilimanjaro Institute Hebu tupigie kupitia 0745561090 / 0622929424 kwa maelezo zaidi
Kozi hizo ipo Falidu unaweza kujiunga na kusoma na jitahidi kutuma Maombi yako bado tunaendelea kupokea Maombi Karibu Sana Kilimanjaro Institute Hebu tupigie kupitia 0745561090 / 0622929424 kwa maelezo zaidi
Jamani naomba msaada hapa nimefanya application tokea 18 January 2018 kwa diploma kupitia nacte hadi Leo hapa hakuna majibu linakuaje hili suala naomba jibu
Karibu Sana ashiraf Ndio Inawezekana Kujiunga na
tunaendelea kupokea wanafunzi Karibu Sana Kilimanjaro institute inawezekana kabisa kujiunga.Piga 0745561090/0717816034 kupata maelezo mazuri yatakusaidia Kwa
Ndio Inawezekana shamsa Ndio na kwa ubora zaidi ambao utakuwezesha wewe kuendelea na elimu ya Juu
tunaendelea kupokea wanafunzi Karibu Sana Kilimanjaro institute inawezekana kabisa kujiunga.Piga 0745561090/0717816034 kupata maelezo mazuri yatakusaidia Kwa
Usijali salum Kozi hiyo ipo na bado tunaendelea kupokea wanafunzi Karibu Sana Kilimanjaro institute inawezekana kabisa kujiunga.Piga 0745561090/0717816034 kupata maelezo mazuri yatakusaidia Kwa haraka
Yes ipo bea Karibu Sana na Inawezekana Kozi zipo na kwa ubora zaidi ambao utakuwezesha wewe kuendelea na elimu ya Juu
tunaendelea kupokea wanafunzi Karibu Sana Kilimanjaro institute inawezekana kabisa kujiunga.Piga 0745561090/0717816034 kupata maelezo mazuri yatakusaidia Kwa Haraka
Yes ipo bea Karibu Sana na Inawezekana Kozi zipo na kwa ubora zaidi ambao utakuwezesha wewe kuendelea na elimu ya Juu
tunaendelea kupokea wanafunzi Karibu Sana Kilimanjaro institute inawezekana kabisa kujiunga.Piga 0745561090/0717816034 kupata maelezo mazuri yatakusaidia Kwa Haraka
Habari. Ninaomba kupata ratiba ya mitihani ya sasa.CBA
Habari, poleni sana na kazi za muda mrefu
Naitwa Frank nahitaji msaada kutoka kwenu nimewatumia ujumbe facebook lakin hamjanijibu bado
Habari naitwa Frank nahitaji kujiunga na chuo chenu kwa kozi ya IT ngazi ya cheti na Diploma vigezo ninavyo naombeni utaratibu jinsi ya kujaza fomu Online mana sipo mkoa wa Dar es salaam nipo vijijini kabisa mwa Kigoma ,
Pia naombeni mnijuze kuhusu Hostel zinapatikana na ni Hosteli na Chuo au za mtu binafsi na vipi hostel hiz ndo pamoja na ada uliyoitoa au hostel zina gharama yake na vip usafiri
Tafadhalini Jaman naombeni Mnijibu mimi mana kwetu mtandao unasumbua najitahd kidogo mitandao ya kijamii.
mi nishatuma maombi tayari mwez wakumi nambili20219,cjw mtanitarifu vp na masomo yanaanza lini kwa mwaka2020 koz ya IT?
Samahani he mpo na mwanza
mm nmesoma veta masuala ya umeme miaka miwili iliyopita vp naweza kuendelea na Diploma ya mambo mengine na chuo chenu????
Karibu sana Shaq, Jisikie huru kuuliza chochote Hebu tupigie kupitia 0745561090 / 0622929424/ 0652835123kwa maelezo zaidi
Naitwa falidu Twaili nilitaka nijuwe kama naweza kusoma IT certificate nimemaliza kidato cha nne mwaka jana nilipata division 4 ya 32 je naweza kujiunga na IT
Kozi hizo ipo Falidu unaweza kujiunga na kusoma na jitahidi kutuma Maombi yako bado tunaendelea kupokea Maombi Karibu Sana Kilimanjaro Institute Hebu tupigie kupitia 0745561090 / 0622929424 kwa maelezo zaidi
Naitwa falidu Twaili nilitaka nijuwe kama naweza kusoma IT certificate nimemaliza kidato cha nne mwaka jana nilipata D3 je naweza kujiunga na IT
Kozi hizo ipo Falidu unaweza kujiunga na kusoma na jitahidi kutuma Maombi yako bado tunaendelea kupokea Maombi Karibu Sana Kilimanjaro Institute Hebu tupigie kupitia 0745561090 / 0622929424 kwa maelezo zaidi
Jamani naomba msaada hapa nimefanya application tokea 18 January 2018 kwa diploma kupitia nacte hadi Leo hapa hakuna majibu linakuaje hili suala naomba jibu
Tunaomba ufanye chuoni moja kwa moja na ukitaka kupata maelezo zaidi na mazuri yatakayokusaidia Piga 0745561090
Nilikuja kuapply hapo chuo ila mpaka sasa hivi bado sijapata majibu yoyote Napenda kufahamu kama majibu tayari yashatoka?
Usijali utapewa taarifa bado tunashughulikia unaweza kupiga 0745561090
jaman me naitwa Ashraf naulizia coz ya website desgn using content and adobe dreamweaver cs3 na je wanaitaj niwe na vigezo gan?
Karibu Sana ashiraf Ndio Inawezekana Kujiunga na
tunaendelea kupokea wanafunzi Karibu Sana Kilimanjaro institute inawezekana kabisa kujiunga.Piga 0745561090/0717816034 kupata maelezo mazuri yatakusaidia Kwa
Napenda kuuliz je mtu alie kua na certificate anawez kujiunga na chuo
Ndio Inawezekana shamsa Ndio na kwa ubora zaidi ambao utakuwezesha wewe kuendelea na elimu ya Juu
tunaendelea kupokea wanafunzi Karibu Sana Kilimanjaro institute inawezekana kabisa kujiunga.Piga 0745561090/0717816034 kupata maelezo mazuri yatakusaidia Kwa
Naomba kujua gharama Kw kozi ya umeme,(ada +hostel)
Usijali salum Kozi hiyo ipo na bado tunaendelea kupokea wanafunzi Karibu Sana Kilimanjaro institute inawezekana kabisa kujiunga.Piga 0745561090/0717816034 kupata maelezo mazuri yatakusaidia Kwa haraka
Nataka kujiunga na diploma nina credit nne za from four na certificate ya business administration naweza jiunga mwez huu wa pili
Habari bado tunaendelea kupokea Wanafunzi
Tupigie kwa namba 0745561090 ili tukupe maelezo zaidi
Naomba kuuliza kama kuna corse ya ELECTRONIC & TELECOMMUNICATION ENGINEERING . Nataka kusoma
Electronics Ipo,Inawezekana Bado tunaendelea Wanafunzi
Tupigie kwa namba 0745561090 ili tukupe maelezo zaidi Kufanya usajili
Nataman kuapply Saivi Hotel management bigamy na computer ni possible for now?
Habari Jenifer ,Inawezekana Bado tunaendelea kupokea Wanafunzi
Tupigie kwa namba 0745561090 ili tukupe maelezo zaidi Kufanya usajili
naitwa sadick mangombe kutoka tabora nataka kujua kama kuna course za biashara
Habari Sadick,
Kozi Za Biashara Zipo na bado tunapokea wanafunzi Tupigie kwa namba 0745561090 ili tukupe maelezo zaidi
Je naomba kuuliza kama kuna marketing managment?
Yes ipo bea Karibu Sana na Inawezekana Kozi zipo na kwa ubora zaidi ambao utakuwezesha wewe kuendelea na elimu ya Juu
tunaendelea kupokea wanafunzi Karibu Sana Kilimanjaro institute inawezekana kabisa kujiunga.Piga 0745561090/0717816034 kupata maelezo mazuri yatakusaidia Kwa Haraka
Yes ipo bea Karibu Sana na Inawezekana Kozi zipo na kwa ubora zaidi ambao utakuwezesha wewe kuendelea na elimu ya Juu
tunaendelea kupokea wanafunzi Karibu Sana Kilimanjaro institute inawezekana kabisa kujiunga.Piga 0745561090/0717816034 kupata maelezo mazuri yatakusaidia Kwa Haraka
eu so mocambicano,quero saber sera que ha vaga ai,para curso de computador?
yes call us
+255745561090
Mimi DOTTO CHALYA kutoka Mwanza napenda kujiunga NA ngazi ya Diploma kwa course ya ICT
Habari Doto,
Tupigie kwa namba 0745561090 ili tukupe maelezo zaidi namna ya kujiunga na Diploma ya ICT.