Habari yako Kelvin, vizuri sana kwa kutuonyesha ufaulu wako na nikutaarifu kwamba u=una vigezo vya kujiunga katika chuo chetu unaweza kutupigia kupitia 0622929424 / 0766348652 upate maelekzo vizuri namna ya kujiunga na chuo
Habari isacktunapenda kukufahamisha bado tunaendelea kupokea wanafunzi wa ngazi zote ila usisubiri muda wa kutuma maombi uishe piga 0622929424 kwa maelekezo mengine au chukua fomu kwa kubofya https://kitm.ac.tz/?page_id=17
kozi zinaanza mwezi wa 3 Jawali hivyo jitahidi ufanye maombi mapema unaweza kupiga 0622929424 kwa maelekezo zaidi au chukua fomu yetu kwa bofya hapa https://kitm.ac.tz/?page_id=17
habari naitwa erick ilomo nina mtu anataka kusoma It ya computer repair and networking maombi nataka kuomba online nahitaj kujua kama bado udahili unaendelea..
Bado tunaendelea kufanya udahili nafasi bado zipo,Fomu zinapatikana kwenye tovuti yetu hii hii au fika ofisin kwetu mama ngoma na sinza mapambano, mwenge Dar es salaam au piga 0622929424 kwa maelezo zaidi
Karibu sana Ahmed, Una ufaulu mzuri na vigezo vya kujiunga na kozi yeyote kati ya hizo uliyopendekeza hebu wasiliana nasi kupitia 0745561090 au 0622929424 kwa maelezo mazuri zaidi
hellow habari,
naitwa harysonh je katika kozi ya electrical installation na bussines adimistraition je kuna masomo ya jion yani vipindi kwanzia saaa 10 jion kuendelea
Ndio Haryson tuna vipindi vya jioni na pia kozi unazotaka zote zipo na unaweza kusoma,karibu sana tupigie kwa simu 0622929424 au 0745561090 upate maelezo zaidi.Ahsante
Samahani mimi ni julius charles nilikua nimesoma electrical installation kwa miezi6 sasa naitaji kujiunga na chuo chenu nitafanya pia nimemaliza form four nina D 6 na F 2 naomba msaada wenu nipo mara musoma
Karibu sana Julius Charles tunayo furaha kuona unahitaji kujiendeleza zaidi, ni fahari yetu kukupatia Huduma njema, vigezo vya kujiunga unavyo hebu wasiliana nasi kupitia 0745561090 / 0622929424/ 0652835123 upate maelezo zaidi
Kozi hizo zipo unaweza kujiunga na kusoma na jitahidi kutuma Maombi yako bado tunaendelea kupokea Maombi Karibu Sana Kilimanjaro Institute Hebu tupigie kupitia 0745561090 / 0622929424 kwa maelezo zaidi
Kozi hizo zipo unaweza kujiunga na kusoma na jitahidi kutuma Maombi yako bado tunaendelea kupokea Maombi Karibu Sana Kilimanjaro Institute Hebu tupigie kupitia 0745561090 / 0622929424 kwa maelezo zaidi
Ndio Robert karibu sana Kilimanjaro Institute ,unaweza kujiunga kwa ufaulu huo na gharama ni nafuu kabisa, jitahidi uwasiliane nasi kupitia 0745561090 au 0622929424
Vigezo ni ufaulu wa alama D kuanzia 2,3 au 4 kuendelea unaweza kujiunga Rajabu karibu sana piga 0745561090/0622929424 kupata maelezo kamili namna ya kujiunga
Unaweza Kujiunga tayari una vigezo vya kujiunga jitahidi ufanye usajili mapema piga 0745561090/0622929424 kupata maelezo mazuri yatakusaidia Kwa Haraka
Unaweza Kujiunga tayari una wegezo vya kujiunga jitahidi ufanye usajili mapema piga 0745561090/0717816034 kupata maelezo mazuri yatakusaidia Kwa Haraka
Fomu zinapatikana kwenye mtandao wetu wa website jitahidi uipate mapema ama wasiliana nasi 0745561090
ama bofya hapa kupata fomu https://kitm.ac.tz/application-form/
karibu Sana Kilimanjaro institute francis tumeshaanza kutoa kozi hiyo na bado
tunaendelea kupokea wanafunzi Karibu Sana Kilimanjaro institute inawezekana kabisa kujiunga.Piga 0745561090/0717816034 kupata maelezo mazuri yatakusaidia Kwa Haraka
karibu Sana Kilimanjaro institute francis tumeshaanza kutoa kozi hiyo na bado
tunaendelea kupokea wanafunzi Karibu Sana Kilimanjaro institute inawezekana kabisa kujiunga.Piga 0745561090/0717816034 kupata maelezo mazuri yatakusaidia Kwa Haraka
Karibu Sana Kilimanjaro institute francis tumeshaanza kutoa kozi hiyo na bado
tunaendelea kupokea wanafunzi Karibu Sana Kilimanjaro institute inawezekana kabisa kujiunga.Piga 0745561090/0717816034 kupata maelezo mazuri yatakusaidia Kwa Haraka
aribu Sana Kilimanjaro institute francis tumeshaanza kutoa kozi hiyo na bado
tunaendelea kupokea wanafunzi Karibu Sana Kilimanjaro institute inawezekana kabisa kujiunga.Piga 0745561090/0717816034 kupata maelezo mazuri yatakusaidia Kwa Haraka
Karibu Sana Kilimanjaro institute John inawezekana kujiunga
tunaendelea kupokea wanafunzi Karibu Sana Kilimanjaro institute inawezekana kabisa kujiunga.Piga 0745561090/0717816034 kupata maelezo mazuri yatakusaidia Kwa Haraka
Karibu Sana Kilimanjaro institute Godwin
tunaendelea kupokea wanafunzi Karibu Sana Kilimanjaro institute inawezekana kabisa kujiunga.Piga 0745561090/0717816034 kupata maelezo mazuri yatakusaidia Kwa Haraka
Karibu Sana Kilimanjaro institute
tunaendelea kupokea wanafunzi Karibu Sana Kilimanjaro institute inawezekana kabisa kujiunga.Piga 0745561090/0717816034 kupata maelezo mazuri yatakusaidia Kwa Haraka
Ndio Magdalena
tunaendelea kupokea wanafunzi Karibu Sana Kilimanjaro institute inawezekana kabisa kujiunga.Piga 0745561090/0717816034 kupata maelezo mazuri yatakusaidia Kwa Haraka
Ndio unaweza kujiunga Karibu Sana na Inawezekana Kozi zipo na kwa ubora zaidi ambao utakuwezesha wewe kuendelea na elimu ya Juu
tunaendelea kupokea wanafunzi Karibu Sana Kilimanjaro institute inawezekana kabisa kujiunga.Piga 0745561090/0717816034 kupata maelezo mazuri yatakusaidia Kwa Haraka
Tuna changamoto za maswali kama haya kutoka na uelewa Mdogo wa maswala kama haya.Kumbuka Chuo chochote kilichosajiliwa na serikali kinafuata kanuni na utaratibu uliyowekwa na serikali na pia kinafuata Miongozo mbalimbali iliyowekwa na Vyombo husika vya Elimu.Utaratibu Upo kuna Mifumo miwili tunaitumia nayo ni Nacte na VETA.Hii yote inatumika na kama huna Pass 4 form 4 unasoma NTA LEVELS Ambazo zitakuwezesha wewe kuendelea na elimu za juu
Ndio Issa ipo na kwa ubora zaidi ambao utakuwezesha wewe kuendelea na elimu ya Juu
tunaendelea kupokea wanafunzi Karibu Sana Kilimanjaro institute inawezekana kabisa kujiunga.Piga 0745561090/0717816034 kupata maelezo mazuri yatakusaidia Kwa
Ndio kozi hiyo ipo na tunaitoa kwa ubora wa juu na kwa gharama nafuu sana
tunaendelea kupokea wanafunzi Karibu Sana Kilimanjaro institute inawezekana kabisa kujiunga.Piga 0745561090/0717816034 kupata maelezo mazuri yatakusaidia Kwa Haraka
Hapana amiru Karibu Sana Kilimanjaro institute of technology and management Muhula wa masomo 2018/2019 hakikisha haukupiti
Piga 0745561090 kwa maelezo zaidi yatakayoweza kukusaidia
Ndio Kozi hiyo ipo na bado tunaendelea kupokea wanafunzi Karibu Sana Kilimanjaro institute inawezekana kabisa kujiunga.Piga 0745561090/0717816034 kupata maelezo mazuri yatakusaidia Kwa haraka
Ndio Kozi hiyo ipo na bado tunaendelea kupokea wanafunzi Karibu Sana Kilimanjaro institute inawezekana kabisa kujiunga.Piga 0745561090/0717816034 kupata maelezo mazuri yatakusaidia Kwa haraka
Hostel zipo na bado tunaendelea kupokea wanafunzi Karibu Sana Kilimanjaro institute inawezekana kabisa kujiunga.Piga 0745561090/0717816034 kupata maelezo mazuri yatakusaidia Kwa haraka
Ndio Kozi hiyo ipo na bado tunaendelea kupokea wanafunzi Karibu Sana Kilimanjaro institute inawezekana kabisa kujiunga.Piga 0745561090/0717816034 kupata maelezo mazuri yatakusaidia Kwa haraka
Ndio Kozi hiyo ipo tunaendelea kupokea wanafunzi Karibu Sana Kilimanjaro institute inawezekana kabisa kujiunga.Piga 0745561090/0717816034 kupata maelezo mazuri yatakusaidia Kwa haraka
Mimi naitwa shafiyu idrisa karugira nimeitim kidato cha nne nna ufaulu wa D mbili na na C mbili yan nna dvn iv ya 29 naweza kujiunga na chuo chenu kwa kozi ya ICT nimeitim mwaka 2020
Ndio brother Kaka Kozi hiyo ipo na bado tunaendelea kupokea wanafunzi Karibu Sana Kilimanjaro institute inawezekana kabisa kujiunga.Piga 0745561090/0717816034 kupata maelezo mazuri yatakusaidia Kwa haraka
Kozi hiyo ipo na bado tunaendelea kupokea wanafunzi Karibu Sana Kilimanjaro institute inawezekana kabisa kujiunga.Piga 0745561090/0717816034 kupata maelezo mazuri yatakusaidia Kwa haraka
Nina mdogo wang kamaliza kidato cha nne mwaka na matokeo yake si mazuri… na matokeo yake ni mabaya kapata zilo. Na anapenda sana mambo ya I.T na ndo lengo lake. Je anaweza kujiunga katika chuo chenu?
Fomu unaweza kuzipata hapa hapa kwenye website Yetu Karibu Sana Kilimanjaro institute inawezekana kabisa kujiunga.Piga 0745561090/0717816034 kupata maelezo mazuri yatakusaidia Kwa haraka
mzee utaenda kupoteza muda tuu resit mtihan ea form four utafute pass nne la sivyo hutaendelea na elim ya juu na pia nacte hawatakusajili hawa ni wafanya biashara tuu usidanganyike
Hakuna cha Biashara hapo,Tuna changamoto za maswali kama haya kutoka na uelewa Mdogo wa maswala kama haya.Kumbuka Chuo chochote kilichosajiliwa na serikali kinafuata kanuni na utaratibu uliyowekwa na serikali na pia kinafuata Miongozo mbalimbali iliyowekwa na Vyombo husika vya Elimu.Utaratibu Upo kuna Mifumo miwili tunaitumia nayo ni Nacte na VETA.Hii yote inatumika na kama huna Pass 4 form 4 unasoma NVA LEVELS Ambazo zitakuwezesha wewe kuendelea na elimu za juu
The KITM nimekuelewa sana, Advisor hapo alikuwa amekurupuka. Maisha ya kukalili, hahahahaha.Kwa mtindo huu umaskini bado utaendelea, elimu ya juu bila malengo ni umaskini tosha.
Unakurupuka kujibu, kwani amekwambia anataka kusoma ili aendelee na elimu ya juu.Siyo kila mtu anayetaka kusoma ana mpango wa kuendelea na elimu ya juu.Au anayeendelea na elimu ya juu ndo anapata ajira na kufanikiwa kimaisha? Mbona kuna watu wenye degree na hata Masters wako kitaani hawana kazi na wakati mwingine wanaomba msaada kwa hawa waliopata C moja na waliosoma kozi fupi za ufundi.Kinachotakiwa hapa ni ujuzi na si kusoma tu ili uendelee na elimu ya juu huku ukijua una C moja. Huna hata haja ya kupoteza muda eti unarudia rudia mtihani wa kidato cha nne ili tu uendelee na elimu ya juu.Siku hizi watu hawasomi kwa sifa, bali ni kwa maelengo.Somea kitu kinachoendana na uwezo/afaulu wako na kwa malengo, hayo mengine ni siasa tu.
Advisor unapotosha watu, usikalili maisha, acha watu wasomee kitu na level inayoendana na uwezo na malengo yao.Kusoma elimu ya juu tu bila malengo siyo issue.
Nivigezo gan vinaitajika kwa koz ya erectrical kwa level ya certfct na dplm
usijali Jordan
Karibu Sana Kilimanjaro institute
tunaendelea kupokea wanafunzi Karibu Sana Kilimanjaro institute inawezekana kabisa kujiunga.Piga 0745561090/0717816034 kupata maelezo mazuri yatakusaidia Kwa Haraka
Naitwa Collins shayo je no vigezo gani vitatumika kujiunga kusomea video production
Naitwa faraja nipo mbeya ,nimeona mumetangaz nafas za Kaz Kam librarian assistance , n kwl
Info@kitm.ac.tz
Naitwa Omary nikiwa pangan/tanga
nina ufalu Wa masomo ma tano kwa Alana D tafadhari naweza kujiunga? Pia nawezaje kupata form za kujiunga huku nilipo?
hello,naitwa Afrasion napenda kuuliza hio FRONT OFFICE ni kozi gani
Jina langu Alex nimehitimu Kidato cha
nne Nina C2 na D2 naomba kujiunga na chuo kwa koz ya ellectrico intolerance
Naitwa Mrisho napend kuuliza hapo chuoni kwenu hampokei kwa wenye elimu ya msingi
Hello mrisho tafadhali wasiliana nasi 0622929424 / 0766348652, upate maelekezo zaidi,maana kwa kozi za mda mrefu hapa kwetu hatuchukui
MM N MUHITIMU WA KIDATO CHA NNE NA DDDD7
Habari yako Kelvin, vizuri sana kwa kutuonyesha ufaulu wako na nikutaarifu kwamba u=una vigezo vya kujiunga katika chuo chetu unaweza kutupigia kupitia 0622929424 / 0766348652 upate maelekzo vizuri namna ya kujiunga na chuo
Vigezo vya kujiunga unavyo wasiliana nasi 0622929424 / 0766348652,ili ujue utaratibu namna ya kujiunga
Naitwa isaak nipo geita nimehtimu kidatato cha nne ninaufaulu D4 na C2 naweza kujiunga japo chuon kwa kozi ya electrical instollation
Habari isacktunapenda kukufahamisha bado tunaendelea kupokea wanafunzi wa ngazi zote ila usisubiri muda wa kutuma maombi uishe piga 0622929424 kwa maelekezo mengine au chukua fomu kwa kubofya https://kitm.ac.tz/?page_id=17
kwa mwaka huu 2019 course znaanza lini
habari nimehitimu 4 nahyaji kusoma couz ya ellectrical installation naweza kujiunga hapo chuoni mimi nipo geita
Karibu sana hujachelewa tupigie 0622929424
kozi zinaanza mwezi wa 3 Jawali hivyo jitahidi ufanye maombi mapema unaweza kupiga 0622929424 kwa maelekezo zaidi au chukua fomu yetu kwa bofya hapa https://kitm.ac.tz/?page_id=17
Nina level1 ya electrical installation na sup ya masomo mawili je naweza soma level 3
Nina level1 ya electrical installation na sup ya masomo mawili je naweza soma level 3
piga 0622929424 kwa maelekezo zaidi Mr frank
Habari naitwa erck kuna mtu ana d2 anahitaji kusoma hapo English course na computer je inawezekana
Kwa hapa kwetu hatutoi kozi ya English ila kwa upande wa Computer inawezekana kabisa na kwa gharama nafuu
Nimehitim form 4 nina D mbili na C moja naweza kujiunga na chuo chenu nipo moshi nahitaji kusomea Electrical Intallation.
habari naitwa erick ilomo nina mtu anataka kusoma It ya computer repair and networking maombi nataka kuomba online nahitaj kujua kama bado udahili unaendelea..
Bado tunaendelea kufanya udahili nafasi bado zipo,Fomu zinapatikana kwenye tovuti yetu hii hii au fika ofisin kwetu mama ngoma na sinza mapambano, mwenge Dar es salaam au piga 0622929424 kwa maelezo zaidi
Naitwa shabani ninahitaji kujiunga na kozi ya electrical installation Nina c 2 na d 5 je naweza kujiunga? . na ada zake ziko vipi??
Kwa ufaulu wako mzuri huo unaweza kujiunga na kozi yeyote hapa chuoni kwetu karibu sana piga 0622929424 kwa maelekezo zaidi
sory nna c3 na D4
je naweza kujiunga na coz y elctrical installation or IT kwa certificate?
Karibu sana Ahmed, Una ufaulu mzuri na vigezo vya kujiunga na kozi yeyote kati ya hizo uliyopendekeza hebu wasiliana nasi kupitia 0745561090 au 0622929424 kwa maelezo mazuri zaidi
hellow habari,
naitwa harysonh je katika kozi ya electrical installation na bussines adimistraition je kuna masomo ya jion yani vipindi kwanzia saaa 10 jion kuendelea
Ndio Haryson tuna vipindi vya jioni na pia kozi unazotaka zote zipo na unaweza kusoma,karibu sana tupigie kwa simu 0622929424 au 0745561090 upate maelezo zaidi.Ahsante
Samahani mimi ni julius charles nilikua nimesoma electrical installation kwa miezi6 sasa naitaji kujiunga na chuo chenu nitafanya pia nimemaliza form four nina D 6 na F 2 naomba msaada wenu nipo mara musoma
Karibu sana Julius Charles tunayo furaha kuona unahitaji kujiendeleza zaidi, ni fahari yetu kukupatia Huduma njema, vigezo vya kujiunga unavyo hebu wasiliana nasi kupitia 0745561090 / 0622929424/ 0652835123 upate maelezo zaidi
Sorry pana corse ya computer application and maintains/repair (software and hardware)
Kozi hizo zipo unaweza kujiunga na kusoma na jitahidi kutuma Maombi yako bado tunaendelea kupokea Maombi Karibu Sana Kilimanjaro Institute Hebu tupigie kupitia 0745561090 / 0622929424 kwa maelezo zaidi
Sorry pana corse ya computer application and maintains/repair (software/hardware
Kozi hizo zipo unaweza kujiunga na kusoma na jitahidi kutuma Maombi yako bado tunaendelea kupokea Maombi Karibu Sana Kilimanjaro Institute Hebu tupigie kupitia 0745561090 / 0622929424 kwa maelezo zaidi
History E
Geograhy S
English D
Naweza kusoma Diploma in IT au ICT
Ndio Robert karibu sana Kilimanjaro Institute ,unaweza kujiunga kwa ufaulu huo na gharama ni nafuu kabisa, jitahidi uwasiliane nasi kupitia 0745561090 au 0622929424
Ada ya pc maintenance ni sh?
Ada zetu ni nafuu sana hebu tupigie kupitia mawasiliano yetu ya 0745561090 upate maelezo zaidi yatakayoweza kukusaidia kwa haraka
Ni vigezo gani anatakiwa kuwa navyo mwanafunzi anaetaka kusoma diploma ya ICT?
Vigezo ni ufaulu wa alama D kuanzia 2,3 au 4 kuendelea unaweza kujiunga Rajabu karibu sana piga 0745561090/0622929424 kupata maelezo kamili namna ya kujiunga
nina alama za d 3 nawez kujiunga na ELECRICAL INSATALLATION LEVEL 4
Unaweza Kujiunga tayari una vigezo vya kujiunga jitahidi ufanye usajili mapema piga 0745561090/0622929424 kupata maelezo mazuri yatakusaidia Kwa Haraka
habari nina level two nataka nisome level three kwa sup ya somo moja inawezekana
Unaweza Kujiunga tayari una wegezo vya kujiunga jitahidi ufanye usajili mapema piga 0745561090/0717816034 kupata maelezo mazuri yatakusaidia Kwa Haraka
Course ya auto electric inatolewa hapo chuon??
Kozi ya Umeme ipo Unaweza Kujiunga jitahidi ufanye usajili mapema piga 0745561090/0717816034 kupata maelezo mazuri yatakusaidia Kwa Haraka
Unaweza kufanya maombi online
Samahani ninaomba kujua utaratifu Wa kuweza kupata fomu
Fomu zinapatikana kwenye mtandao wetu wa website jitahidi uipate mapema ama wasiliana nasi 0745561090
ama bofya hapa kupata fomu https://kitm.ac.tz/application-form/
Naomba kuuliza kama mnatoa koz ya mechanical engineering ngaz ya diploma
Karibu sana Adrew piga 0745561090/0717816034 kupata maelezo mazuri yatakusaidia Kwa Haraka na namna ya kujiunga
Samahani naomba kuuliza
Je kozi ya electric&electron inatolewa?
Na utumaji wa maombi una anza mwezi wa ngapi
karibu Sana Kilimanjaro institute francis tumeshaanza kutoa kozi hiyo na bado
tunaendelea kupokea wanafunzi Karibu Sana Kilimanjaro institute inawezekana kabisa kujiunga.Piga 0745561090/0717816034 kupata maelezo mazuri yatakusaidia Kwa Haraka
Nauliza chuo kinatoa elimu masafa yaani distance learning
Karibu sana mazula piga 0745561090/0717816034 kupata maelezo mazuri yatakusaidia Kwa Haraka
Samahani naomba kuuliza
Je kozi ya electric&electron inapatikana au?
Na utumaji wa maombi unaanza mwezi wa ngapi?
karibu Sana Kilimanjaro institute francis tumeshaanza kutoa kozi hiyo na bado
tunaendelea kupokea wanafunzi Karibu Sana Kilimanjaro institute inawezekana kabisa kujiunga.Piga 0745561090/0717816034 kupata maelezo mazuri yatakusaidia Kwa Haraka
samahani je kozi ya electric na electron inapatikana hapo
Na utumaji wa maombi unaanza mwezi wa ngapi?
Karibu Sana Kilimanjaro institute francis tumeshaanza kutoa kozi hiyo na bado
tunaendelea kupokea wanafunzi Karibu Sana Kilimanjaro institute inawezekana kabisa kujiunga.Piga 0745561090/0717816034 kupata maelezo mazuri yatakusaidia Kwa Haraka
aribu Sana Kilimanjaro institute francis tumeshaanza kutoa kozi hiyo na bado
tunaendelea kupokea wanafunzi Karibu Sana Kilimanjaro institute inawezekana kabisa kujiunga.Piga 0745561090/0717816034 kupata maelezo mazuri yatakusaidia Kwa Haraka
Nina d mbili naweza kujiunga na CHUO chenu natakusoma kozi ya AT
Karibu Sana Kilimanjaro institute John inawezekana kujiunga
tunaendelea kupokea wanafunzi Karibu Sana Kilimanjaro institute inawezekana kabisa kujiunga.Piga 0745561090/0717816034 kupata maelezo mazuri yatakusaidia Kwa Haraka
Vip baada ya masomo ajira tunatafuta wenywewe au mnakua mnatusaidia
Karibu Sana Kilimanjaro institute Godwin
tunaendelea kupokea wanafunzi Karibu Sana Kilimanjaro institute inawezekana kabisa kujiunga.Piga 0745561090/0717816034 kupata maelezo mazuri yatakusaidia Kwa Haraka
Naitwa jordan naomba kujua vigezo vinavyoitajika katika coz ya erectrical kwa level ya certfct na dplm
Karibu Sana Kilimanjaro institute
tunaendelea kupokea wanafunzi Karibu Sana Kilimanjaro institute inawezekana kabisa kujiunga.Piga 0745561090/0717816034 kupata maelezo mazuri yatakusaidia Kwa Haraka
Nina D tatu naweza kujiunga nataka kusomea procurement?
Ndio Magdalena
tunaendelea kupokea wanafunzi Karibu Sana Kilimanjaro institute inawezekana kabisa kujiunga.Piga 0745561090/0717816034 kupata maelezo mazuri yatakusaidia Kwa Haraka
Ninaufaulu wa c mbili je naweza kujiunga katika chuo chenu
Ndio unaweza kujiunga Karibu Sana na Inawezekana Kozi zipo na kwa ubora zaidi ambao utakuwezesha wewe kuendelea na elimu ya Juu
tunaendelea kupokea wanafunzi Karibu Sana Kilimanjaro institute inawezekana kabisa kujiunga.Piga 0745561090/0717816034 kupata maelezo mazuri yatakusaidia Kwa Haraka
Chuo kinatoa elimu masafa yaani distance learning
Karibu sana mazula piga 0745561090/0717816034 kupata maelezo mazuri yatakusaidia Kwa Haraka
ataendelea vipi na elimu ya juu na hana pass nne si muwe wakweli tuu
Tuna changamoto za maswali kama haya kutoka na uelewa Mdogo wa maswala kama haya.Kumbuka Chuo chochote kilichosajiliwa na serikali kinafuata kanuni na utaratibu uliyowekwa na serikali na pia kinafuata Miongozo mbalimbali iliyowekwa na Vyombo husika vya Elimu.Utaratibu Upo kuna Mifumo miwili tunaitumia nayo ni Nacte na VETA.Hii yote inatumika na kama huna Pass 4 form 4 unasoma NTA LEVELS Ambazo zitakuwezesha wewe kuendelea na elimu za juu
kuna course ya procurement diploma hpo
Ndio Issa ipo na kwa ubora zaidi ambao utakuwezesha wewe kuendelea na elimu ya Juu
tunaendelea kupokea wanafunzi Karibu Sana Kilimanjaro institute inawezekana kabisa kujiunga.Piga 0745561090/0717816034 kupata maelezo mazuri yatakusaidia Kwa
Habari vipi course ya procurement and logistics mnatoa hapo kwenuu?
Ndio kozi hiyo ipo na tunaitoa kwa ubora wa juu na kwa gharama nafuu sana
tunaendelea kupokea wanafunzi Karibu Sana Kilimanjaro institute inawezekana kabisa kujiunga.Piga 0745561090/0717816034 kupata maelezo mazuri yatakusaidia Kwa Haraka
Kuna kozi ya driving hapo
Hapana amiru Karibu Sana Kilimanjaro institute of technology and management Muhula wa masomo 2018/2019 hakikisha haukupiti
Piga 0745561090 kwa maelezo zaidi yatakayoweza kukusaidia
Course ya IT certificate ni sh ngapi ?
Ndio Kozi hiyo ipo na bado tunaendelea kupokea wanafunzi Karibu Sana Kilimanjaro institute inawezekana kabisa kujiunga.Piga 0745561090/0717816034 kupata maelezo mazuri yatakusaidia Kwa haraka
Kuna hostel na ada ni shilingi ngapi
Ndio Kozi hiyo ipo na bado tunaendelea kupokea wanafunzi Karibu Sana Kilimanjaro institute inawezekana kabisa kujiunga.Piga 0745561090/0717816034 kupata maelezo mazuri yatakusaidia Kwa haraka
Hostel zipo na bado tunaendelea kupokea wanafunzi Karibu Sana Kilimanjaro institute inawezekana kabisa kujiunga.Piga 0745561090/0717816034 kupata maelezo mazuri yatakusaidia Kwa haraka
Mi nataka kuuliza vipi kuna Electrical Engineering yani diploma level 5 apo chuoni!?
Ndio Kozi hiyo ipo na bado tunaendelea kupokea wanafunzi Karibu Sana Kilimanjaro institute inawezekana kabisa kujiunga.Piga 0745561090/0717816034 kupata maelezo mazuri yatakusaidia Kwa haraka
Ndio Kozi hiyo ipo tunaendelea kupokea wanafunzi Karibu Sana Kilimanjaro institute inawezekana kabisa kujiunga.Piga 0745561090/0717816034 kupata maelezo mazuri yatakusaidia Kwa haraka
samahani kwa majina naitwa steven michael ninahitaji kujiunga na chuo chenu kwa kozi electrical installation ila kwa cheti cha veta je inawezekana
Karibu sana steven kozi hiyo tunayo na bado hujachelewa unaweza kupiga simu namba 0745561090 au 0622929424 kwa maelezo zaidi
Mimi naitwa shafiyu idrisa karugira nimeitim kidato cha nne nna ufaulu wa D mbili na na C mbili yan nna dvn iv ya 29 naweza kujiunga na chuo chenu kwa kozi ya ICT nimeitim mwaka 2020
mnashukulika na installation za server room na training zipo za short course?
Ndio brother Kaka Kozi hiyo ipo na bado tunaendelea kupokea wanafunzi Karibu Sana Kilimanjaro institute inawezekana kabisa kujiunga.Piga 0745561090/0717816034 kupata maelezo mazuri yatakusaidia Kwa haraka
Naomba kujua IT ada zake zinakuaje
Sam.shabani77@gmail.com
Kozi hiyo ipo na bado tunaendelea kupokea wanafunzi Karibu Sana Kilimanjaro institute inawezekana kabisa kujiunga.Piga 0745561090/0717816034 kupata maelezo mazuri yatakusaidia Kwa haraka
Nina mdogo wang kamaliza kidato cha nne mwaka na matokeo yake si mazuri… na matokeo yake ni mabaya kapata zilo. Na anapenda sana mambo ya I.T na ndo lengo lake. Je anaweza kujiunga katika chuo chenu?
Karibu Sana Kilimanjaro institute Hebu.Piga 0745561090/0717816034 kupata maelezo mazuri yatakusaidia Kwa haraka
Form znapatikana wapi?
Fomu unaweza kuzipata hapa hapa kwenye website Yetu Karibu Sana Kilimanjaro institute inawezekana kabisa kujiunga.Piga 0745561090/0717816034 kupata maelezo mazuri yatakusaidia Kwa haraka
ninaufaulu wa alama C moja naweza kujiunga.
Habari Bruno Karibu Sana Kilimanjaro institute inawezekana kabisa kujiunga.Piga 0745561090/0717816034 kufanya usaili mapema
mzee utaenda kupoteza muda tuu resit mtihan ea form four utafute pass nne la sivyo hutaendelea na elim ya juu na pia nacte hawatakusajili hawa ni wafanya biashara tuu usidanganyike
Hakuna cha Biashara hapo,Tuna changamoto za maswali kama haya kutoka na uelewa Mdogo wa maswala kama haya.Kumbuka Chuo chochote kilichosajiliwa na serikali kinafuata kanuni na utaratibu uliyowekwa na serikali na pia kinafuata Miongozo mbalimbali iliyowekwa na Vyombo husika vya Elimu.Utaratibu Upo kuna Mifumo miwili tunaitumia nayo ni Nacte na VETA.Hii yote inatumika na kama huna Pass 4 form 4 unasoma NVA LEVELS Ambazo zitakuwezesha wewe kuendelea na elimu za juu
The KITM nimekuelewa sana, Advisor hapo alikuwa amekurupuka. Maisha ya kukalili, hahahahaha.Kwa mtindo huu umaskini bado utaendelea, elimu ya juu bila malengo ni umaskini tosha.
Unakurupuka kujibu, kwani amekwambia anataka kusoma ili aendelee na elimu ya juu.Siyo kila mtu anayetaka kusoma ana mpango wa kuendelea na elimu ya juu.Au anayeendelea na elimu ya juu ndo anapata ajira na kufanikiwa kimaisha? Mbona kuna watu wenye degree na hata Masters wako kitaani hawana kazi na wakati mwingine wanaomba msaada kwa hawa waliopata C moja na waliosoma kozi fupi za ufundi.Kinachotakiwa hapa ni ujuzi na si kusoma tu ili uendelee na elimu ya juu huku ukijua una C moja. Huna hata haja ya kupoteza muda eti unarudia rudia mtihani wa kidato cha nne ili tu uendelee na elimu ya juu.Siku hizi watu hawasomi kwa sifa, bali ni kwa maelengo.Somea kitu kinachoendana na uwezo/afaulu wako na kwa malengo, hayo mengine ni siasa tu.
Advisor unapotosha watu, usikalili maisha, acha watu wasomee kitu na level inayoendana na uwezo na malengo yao.Kusoma elimu ya juu tu bila malengo siyo issue.
mimi nina c moja na f
je ninaweza kujiunga na kozi gani
Habari Shaban Karibu Sana Kilimanjaro institute inawezekana kabisa kujiunga.Piga 0745561090/0717816034 kufanya usaili mapema
Mboni cm hazipokelewi
Habari kassar
Tupigie kwa namba 0745561090 simu ya Haraka
Mboni cm napga haipokelewi
Samahani kwa kutokupokelewa simu, piga 0745561090 au 0713683510 utahudumiwa
Habari
Tupigie kwa namba 0745561090 simu ya Haraka
Naitaji kusoma umeme sifa ziooje hapo
Habari Kassim ,Inawezekana Bado tunaendelea kupokea Wanafunzi
Tupigie kwa namba 0745561090 ili tukupe maelezo zaidi na Kufanya usajili
Ninataka kujiunga na IT hapo kwenu ada, ni shilingi ngapi? Na kwa certificate, ni mda gani?
karibu sana hamisi Piga namba hii kwa maelezo zaidi 0745561090
Samahani,kunanafasi kwa sasa kwa ngazi ya certificate course ya ICT
Nafasi zipo Tumain, tupigie kwa namba 0745561090 kwa maelezo zaidi.
Nafasi zipo Tumaini unaweza Piga namba hii kwa maelezo zaidi 0745561090
sifa. za muombaji. ni kama. zipi mimi. nimesomea. Zanzibar chuo. cha mamlaka ya mafunzo ya amali Zanzibar vta vocational training authority
Habari Saleh, sifa za muombaji zinategemeana na kozi anayotaka kusoma. Tupigie kwa nmaba 0745561090 kwa maelezo zaidi.
Hiyo simu tukipiga inaita tuu. Tufanyeje?
Habari Edward
Tupigie kwa namba 0745561090 simu ya Haraka
Ok
Nivigezo gan vinaitajika kwa koz ya erectrical kwa level ya certfct na dplm
usijali Jordan
Karibu Sana Kilimanjaro institute
tunaendelea kupokea wanafunzi Karibu Sana Kilimanjaro institute inawezekana kabisa kujiunga.Piga 0745561090/0717816034 kupata maelezo mazuri yatakusaidia Kwa Haraka