109 thoughts on “JOINING INSTRUCTIONS FOR SELECTED APPLICANTS FOR ACADEMIC YEAR 2019/2020”
mm nina d kalibia zote za arts na c moja kutoa masomo ya sayansi na mathematics ila chuo nlichojiunga imekuja kugundulika ni taasisi ya IPPE yaan adult education na nilikua nachukua kozi ya hotel management sasa je naweza fanyeje hapo?maana nataka nipate certificate nzuri na sio basic certificate yaan ya umahili naomba ushauri hapo maana kila siku nawaza kupata chuo kizuri kinachofundisha hiyo fani ya hotel hata kwa miaka mitatu
Habari Mbezi, karibu sana KITM Kuna kozi nyingi hapa kwetu ambazo unaweza kusoma zenye fursa ya ajira moja kwa moja, hebu wasiliana nasi kupitia 0622929424
habari yunny, usisubiri ifike mwisho, tunapendekeza uwahi mapema kufanya maombi kwa sasa nafasi bado zipo! piga 0622929424 / 0766348652 upate maelekezo zaidi
Naomba kuuliza nmemalza form four na kupata division 3 then nkaenda chuo kusomea IT nkapata second ya 3.4 je naweza jiunga na diploma katika chuo chenu?
Hello alex, udahili umeshaanza na bado tunaendelea kupokea wanafunzi, kujiunga ni rahisi tu fika chuoni mwenge au wasiliana nasi 0622929424 / 0766348652 upate maelekezo zaidi namna ya kutuma maombi yako na vigezo vyake
Gharama zinatofautiana kulingana na kozi husika ila ni nafuu na tunaruhusu kulipa kwa awamu hebu wasiliana nasi tukusaidie kwa karibu 0622929424 / 0766348652,
mm nahitaji kujiunga na chuo chenu lakini nina d 3 kwenye cheti changu cha f4 na nimesoma certificate tayari. Je naweza kujiunga na diploma kwenye chuo chenu?
Hello steven habari yako, karibu sana katika Chuo ch KITM Kufanya maombi online inawezekana na unachofanya ni kuchukua fomu iliyopo katika tovuti yetu hii na kisha unaijaza alafu una scan inatumwa kwa email ya chuo, hebu piga upate maelekezo zaidi 0622929424
Hapa hatuna masharti nduu Abdul usiwe na shaka kabisa ila kuna taratibu tu za kujiunga ambazo ni za kawaida kabisa hebu tupigie kupitia 0622929424 au tuma ujumbe
Karibu sana Thomas unaweza kabisa kujiunga na chuo chetu vigezo unavyo, fomu zinapatikana ofisini kwetu au kwenye tovuti hii hapa. kwa melekezo zaidi tupigie kupitia 0622929424.Asante
Hello karimu kwa taarifa zako, una ufaulu mzuri tu kabisa wa kujiunga na chuo chetu, bado tunaendelea kupokea wanafunzi hebu wasiliana nasi kwa maelekezo zaidi ya haraka 0622929424/ 0745561090
Habar mm ni muhitimu wa kida to cha nne 2017 na hitaji kujiunga na course ya accountancy katika chuo chenu je vp kuhusu upatikanaji was form za kujiunga au kama zipo kwa njia ya online naomba niweze kujua kama zipo ili nijaze moja kwa moja
majibu yameshatoka kitambo wasiliana nasi kwa namba ulizokuwa unatumia wakati unatuma maombi watakusaidia kwa haraka zaidi na tarehe ya kurepoti ni tarehe 18/04
Ningependa kuuliza kwa mfano mm nimesomea nje ya nchi jirani kenya nikamaliza form four. Nimerudi na cheti changu nikaenda nikafanyiwa equivalence ambapo nilifaulu, je kuna uwezekano wa kuapply diploma kwenye kozi ya IT?
Habari yako Marcos intake zinatofautiana na mihula pia inatofautiana, hivyo ni muhimu kutuma tu maombi mapema piga 0622929424 upate maelekezo mazuri zaidi
Naomba kuuliza, naweza kusoma certificate ya ICT bila kuwa na pass NNE katika cheti changu cha form four. Cheti changu kina sifa ya pass mbili, English & History. Nahitaji kujua kama naweza anza kusoma hiyo course, na nikaendelea hadi kuifikia elimu ya juu kabisa kwa mwongozo huu. Naomba majibu. Asante
Yes inawezekana napenda kukufahamisha bado tunaendelea kupokea wanafunzi wa ngazi zote ila usisubiri muda wa kutuma maombi uishe piga 0622929424 kwa maelekezo mengine au chukua fomu kwa kubofya https://kitm.ac.tz/?page_id=17
Nina certificate ya IT naitaji kujiunga na chuo chenu kwa level ya diploma ila kwenye cheti cha Form 4 sina chemedtry wala physics masomo mengne ninaufaul mzur kuanzia “C” SASA JE NAEZA KUBALIWA KUJIUNGA NA CHUO CHENU??
Habari nilikuwa nauliza masomo yataanza lini rasmi sababu naona ratiba Kama imebadilika…then wanasema kwamba tunaamiah katika premises jingine. Tafadhali nijuliashwe. Shukran
mm nina d kalibia zote za arts na c moja kutoa masomo ya sayansi na mathematics ila chuo nlichojiunga imekuja kugundulika ni taasisi ya IPPE yaan adult education na nilikua nachukua kozi ya hotel management sasa je naweza fanyeje hapo?maana nataka nipate certificate nzuri na sio basic certificate yaan ya umahili naomba ushauri hapo maana kila siku nawaza kupata chuo kizuri kinachofundisha hiyo fani ya hotel hata kwa miaka mitatu
Nitapata wap form nipo dar es salaam
Nataka kufanya application online nashindwa nifanyeje
mbona majina ya waliochagulia hayafunguki wala joining form haifunguki???
je kama mim nishituma form inakuaje nipate maelekezo ya kuwa nimechaguliwa
Hv Unaweza Kubdri Kozi hta kama umeixha chagua na kutma maomb?
hABARI JOSEPHAT INAWEZEKANA KABISA MAANA UNARUHUSIWA KUCHAGUA SEHEMU 3 KARIBU PIGA 0622929424
Chuo Kinataftia Wahtim Ajira Au
Naomba kuuliza kama kidato cha nne umepata division four ya d3 unaweza kuchukua Kozi gani ambayo naweza kuendelea mpaka diploma
Habari Mbezi, karibu sana KITM Kuna kozi nyingi hapa kwetu ambazo unaweza kusoma zenye fursa ya ajira moja kwa moja, hebu wasiliana nasi kupitia 0622929424
Mimi nlitaka kuulza it kwn ni lazima niwe na phzcx
Hapana tunaangalia ufaulu wako, unaweza kupata maelekezo zaidi 0622929424
vip katika suala la uniform??
0622929424 wasiliana nasi
Mtyu akitaka kujiunga chuon kwenu kwa somo la IT bei yake na vigezo
0622929424 wasiliana nasi
Mimi ni mbeya nataka kusoma hapo kv kuna hostel au
joining ya mafunzo ya DEMA 2019/2020 zitatoka lini?
0622929424 / 0766348652 upate maelekezo zaidi, karibu
Nina shida ya kujiunga na diploma ya ukaguzi na uongozi unatakiwa ufaulu wake vip
Mwisho wa kusajili course mwisho ni lini
habari yunny, usisubiri ifike mwisho, tunapendekeza uwahi mapema kufanya maombi kwa sasa nafasi bado zipo! piga 0622929424 / 0766348652 upate maelekezo zaidi
Naomba kuuliza nmemalza form four na kupata division 3 then nkaenda chuo kusomea IT nkapata second ya 3.4 je naweza jiunga na diploma katika chuo chenu?
Hello kama chuo kinatambulika na Nacte unaweza kujiunga ila wasiliana nasi kupitia 0622929424 / 0766348652 upate maelekezo zaidi
nahitaji kujiunga na chuo chako kusomea ukaguzi cheti Cha form four Nina credit 1 ya mathematics je inawezekana kupokelewa?
Wasiliana nasi 0622929424 kwa ushauri na maelkezo
habari naomba kufahamu kama udahili wa mwaka 2019/2020 umeza na vigezo kwa koz ya IT certificate mpa diploma
Hello alex, udahili umeshaanza na bado tunaendelea kupokea wanafunzi, kujiunga ni rahisi tu fika chuoni mwenge au wasiliana nasi 0622929424 / 0766348652 upate maelekezo zaidi namna ya kutuma maombi yako na vigezo vyake
Sorry nimemaliza IT level 2 veta na nmeporm vzr natak niendelee na diploma na matokeo yangu form 4 yapo vzr naweza jiunga nanyi kwny chuo cheny
Habari utaratibu wa kujiunga na Diploma upo wazi uwe na NTA Level 4. Kwa haraka zaidi hebu piga 0622929424 / 0766348652, tukupatie maelekezo zaidi
sehem ya kuapply online ni wap
Karibu sana kua apply online inawezekana kabisa 0622929424 / 0766348652, wasiliana nasi tukupatie maelekezo zaidi
Habari napenda kujua Kama Kuna course ya human resources
james wasiliana nasi 0622929424 / 0766348652, tukupe msaada zaidi wa maelekezo
nataka kujua gharama ya kujiunga na hicho chuo n sh ngp kwa ujumla
Gharama zinatofautiana kulingana na kozi husika ila ni nafuu na tunaruhusu kulipa kwa awamu hebu wasiliana nasi tukusaidie kwa karibu 0622929424 / 0766348652,
mm nahitaji kujiunga na chuo chenu lakini nina d 3 kwenye cheti changu cha f4 na nimesoma certificate tayari. Je naweza kujiunga na diploma kwenye chuo chenu?
Yes inawezekana kabisa kujiunga jitahidi uwasiliane nasi ili uweze kufanya maombi mapema 0622929424 / 0766348652
Habari, naomba kuulza kama happy mnatoa course ya graphic design na ni course ya muda gani na gharama take no sh ngapi.ninahitaji kuisoma hyo course.
Graphics ipo tena na waalimu waliobobea kabisa kutoa Elimu hiyo 0766348652/ 0622929424 wasiliana nasi upate maelekezo zaidi
kozi zipo 0622929424/ 0745561090 kwa mawasiliana zaidi tupigie hapo
habari mimi nashida yakujua ni jinsi gani naweza kuomba nafasi za chuo online …
Hello steven habari yako, karibu sana katika Chuo ch KITM Kufanya maombi online inawezekana na unachofanya ni kuchukua fomu iliyopo katika tovuti yetu hii na kisha unaijaza alafu una scan inatumwa kwa email ya chuo, hebu piga upate maelekezo zaidi 0622929424
Boss mm Abdul qadir nahitaji kupata nafasi katika chuo chako nahitaji kujuwa masharti ya chuo chako
Hapa hatuna masharti nduu Abdul usiwe na shaka kabisa ila kuna taratibu tu za kujiunga ambazo ni za kawaida kabisa hebu tupigie kupitia 0622929424 au tuma ujumbe
Je mnatoa mafunzo kwa njia ya mtandao? Yaani online learning?
Heloo faridi hebu tueleze upo mkoa gani kwa sasa? tuweze kukusaidia kwa haraka
wasiliana na mtoa huduma zetu 0622929424
Habari. napenda kujua kama kuna upokeaji wanafunzi kwa awamu nyingne ndani ya mwaka huu, na kama ipo uandikishaji unaanza ln
ndio kuna awamu ya mwezi wa 7 Under veta na awamu ya mwezi wa 9 mpaka 10 hawa ni Nacte ..karibu sana unaweza kuwasiliana nasi 0622929424
Je MTU akiwa na d2na c3 je naweza kupata nafasi pia form ya kujiunga pia
Karibu sana Thomas unaweza kabisa kujiunga na chuo chetu vigezo unavyo, fomu zinapatikana ofisini kwetu au kwenye tovuti hii hapa. kwa melekezo zaidi tupigie kupitia 0622929424.Asante
Naitaji nafasi ya kujiunga na chuo chenu nimehitimu kidato cha NNE 2018 na ufaulu wangu ni D4,C2
Hello karimu kwa taarifa zako, una ufaulu mzuri tu kabisa wa kujiunga na chuo chetu, bado tunaendelea kupokea wanafunzi hebu wasiliana nasi kwa maelekezo zaidi ya haraka 0622929424/ 0745561090
Habar mm ni muhitimu wa kida to cha nne 2017 na hitaji kujiunga na course ya accountancy katika chuo chenu je vp kuhusu upatikanaji was form za kujiunga au kama zipo kwa njia ya online naomba niweze kujua kama zipo ili nijaze moja kwa moja
karibu sana ndugu inawezekana kabisa na fomu zipo katika tovuti yetu hii hii unaweza download ila pia tutafute 0622929424
Nahitaj kujiunga na certificate of IT ingawa elimu yang ya kidato cha nne in pass mbili je inawezekana?
HABARI. NAPENDA KUJIUNGA NA CHUO CHENU KWA COURSE YA IT LAKINI SINA PASS 4 KWA MAANA YA D 4 NMEPATA C2 NA D1 NAFANYAJE HAPO?
kaibu bado unaweza kutuma maombi piga 0622929424
Ni utaratibu gani unaotumika kuwataarifu wanafunzi wanaotakiwa kuingia chuoni mwezi wa NNE na lini majibu hayo yanatoka
majibu yameshatoka kitambo wasiliana nasi kwa namba ulizokuwa unatumia wakati unatuma maombi watakusaidia kwa haraka zaidi na tarehe ya kurepoti ni tarehe 18/04
Mimi ni mzazi niko Arusha, nataka mtoto ajoin course ya information technology, naomba kujua kuhusu accommodation kuna utaratibu upi?
Karibu sana Mr Benny utaratibu wa malazi hapa kwetu ni mzuri tu, kijana wako atakuwa salama kabisa piga 0622929424 kwa maelekezo zaidi
Nilikuwa nauliza mnapokea mwanafunzi mwenyewe sifa za kupata credit zp akitataka kusomea mechanic engineering
Karibu sana inawezekana kujiunga,hebu tupigie kupitia 0622929424 upate maelekezo zaidi
certificate ya IT ada ni sh ngap?
Hello omary ada zetu ni nafuu kabisa na unaruhusiwa kulipa kwa awamu na inawezekana kabisa piga 0622929424 kwa maelekezo zaidi
Ningependa kuuliza kwa mfano mm nimesomea nje ya nchi jirani kenya nikamaliza form four. Nimerudi na cheti changu nikaenda nikafanyiwa equivalence ambapo nilifaulu, je kuna uwezekano wa kuapply diploma kwenye kozi ya IT?
Uwezekano upo Eunice karibu sana, piga kwenye namba zetu za mawasiliano kwa maelekezo zaidi 0622929424
mimi naulizia kama kuna uwezekano wa kujiunga chuoni mwezi juni sababu nimesikia kuwa uwezekano uliopo ni wa kujiunga mwezi machi pekee
Habari yako Marcos intake zinatofautiana na mihula pia inatofautiana, hivyo ni muhimu kutuma tu maombi mapema piga 0622929424 upate maelekezo mazuri zaidi
Naomba kuuliza, naweza kusoma certificate ya ICT bila kuwa na pass NNE katika cheti changu cha form four. Cheti changu kina sifa ya pass mbili, English & History. Nahitaji kujua kama naweza anza kusoma hiyo course, na nikaendelea hadi kuifikia elimu ya juu kabisa kwa mwongozo huu. Naomba majibu. Asante
Yes inawezekana napenda kukufahamisha bado tunaendelea kupokea wanafunzi wa ngazi zote ila usisubiri muda wa kutuma maombi uishe piga 0622929424 kwa maelekezo mengine au chukua fomu kwa kubofya https://kitm.ac.tz/?page_id=17
Hiyo diploma in graphic design course yenu structure yake ikoje? yaani inacover subjects zipi hasa?
Graphics hapa kwetu ni kozi ya muda mfupi kwa sasa haina diploma ila ukitaka maelekezo mazuri na haraka piga 0622929424
Nataka kujiunga na course ya video production ada zenu zipoje na inatolewa kwa muda gani?
Ada za full course ya Tv’s and video production ni 450,000 kozi nzima,karibu sana uchukue fomu nipigie 0622929424 kwa maelekezo zaidi
nahitaji kujiunga certificate ya it hapo chuoni kwa sasa ina wezeklana
Ndio inawezekana na bado tunaendelea kupokea maombi ya kujiunga tupigie 0622929424 kwa maelekezo zaidi
Nahitaji kujiunga na course ya video production lakin naona namba zenu zipo busy sana. Kila wakati zinatumika
karibu sana ,hiyo kozi ipo muda ndio huu wa kufanya maombi,nipigie kupitia 0622929424
naitaji form ya kujiunga na chuo kwa ngazi ya certificate 2019
karibu sana mariba nipigie kupitia 0622929424
Nina certificate ya IT naitaji kujiunga na chuo chenu kwa level ya diploma ila kwenye cheti cha Form 4 sina chemedtry wala physics masomo mengne ninaufaul mzur kuanzia “C” SASA JE NAEZA KUBALIWA KUJIUNGA NA CHUO CHENU??
0659794193 whatsApp
Karibu sana Ibrahim unaweza ukajiunga na chuo bora cha KITM Kwa maendeleo yako kwa maelekezo zaidi piga 0622929424
Kujiunga chuo kuna process zipi na course ya IT maintenance Inapatikana na ada ni sh ngap per year
Kujiunga inawezekana tu laurance, karibu sana wasiliana nasi kupitia 0622929424 kwa maelekezo zaidi
Nitapata nafasi yakujiunga chuon kwenu
Ndio nafasi bado zipo tunaendelea kupokea wanafunzi tafadhali wasiliana nasi kupitia 0745561090 kwa maelezo zaidi
Sion maana ya kuwa na hii portion ya comment.. maana kila swali lina default answer, which is “wasiliana nasi kupitia….”
Ni vzr maswali ya hapa yakapata majina hapa hapa.
Regards,
Thanks for your Regards, tutalifanyia kazi ijapokuwa ni vyema kama ukipiga simu maana sio kila mtu anaweza kuelewa maelezo yote kupitia maandishi
Hivi Kama unapass nne lkn hakuna hata moja wapo ya masomo ya biashara na math utaweza Soma accountcy au inakuwaje
Karibu sana Mariam unaweza kupata maelekezo kupitia namba 0745561090 / 0622929424, wahi mapema
Habari nilikuwa nauliza masomo yataanza lini rasmi sababu naona ratiba Kama imebadilika…then wanasema kwamba tunaamiah katika premises jingine. Tafadhali nijuliashwe. Shukran
Wasiliana nasi kupitia 0622929424 upate maelekezo zaidi
Ngazi ya certificate
Wasiliana nasi kupitia 0622929424 upate maelekezo zaidi yatakayoweza kukusaidia kwa haraka
Hivi ukitaka kusomea accountcy lazima uwe na principal zipi
Wasiliana nasi kupitia 0622929424 karibu sana mariam upate maelekezo kamili
Maomb natuma online au nifike moja kwa moja chuoni ? Diploma intake ya mwez w nne ? inachukuw muda gan ?
Wasiliana nasi kupitia 0622929424 ili tukupatie majibu mazuri na ya haraka yatakayoweza kukusaidia zaidi
Masomo ya diploma 1 yanaanza lin na je muda wa maombi umekwixha au
Wasiliana nasi kupitia 0622929424 kupata mrejesho zaidi
Mbona mnapigiwa simu ampokei
Pole sana kwa usumbufu huo, unaweza kupiga simu 0622929424 kusaidiwa kwa haraka zaidi
Kuna uchaguzi mwingine ??
Alpha bado tunaendelea kupokea wanafunzi hebu tupigie kupitia 0622929424 kupata maelekezo zaidi
Asanten tumeshaiona join,nadhan tusubir utaratib tu
Nilikua naomba kuuliza kuwa mi nimemaliza f4 2018 nina d6 na c2 je naweza kujiunga na chuo chenu kwa coz ya IT na nishingapi ada na ni miaka mingap?
Karibu sana wikama inawezekana kujiunga kwa ufaulu huo kabisa karibu tunaendelea kupokea maombi piga 0622929424 / 0766348652,